Magazeti yote Tanzania yanatakiwa kusajiliwa upya

Magazeti yote Tanzania yanatakiwa kusajiliwa upya



Msemaji wa Serikali Dk Hassan Abbasi amesema kwamba kuanzia leo hadi Oktoba 15, Magazeti yote yataanza kusajiliwa upya.
"Baada ya Oktoba 15, 2017 hakuna atakayeruhusiwa kuchapisha bila usajili"Amesema Dk Abbasi na kuongeza;
"Mfumo mpya wa utoaji wa leseni kwa machapisho yote umeanza rasmi leo ‘’
Amesema taratibu zote za upatikanaji wa leseni zimewekwa katika tovuti http://www.maelezo.go.tz"-
Mawasiliano kwa ajili ya ufafanuzi kuhusu utaratibu wa usajili ni 0622664606 na 0717312417 au kupitia maelezo@habari.go.tz
==

Post a Comment

0 Comments