Video: Mchezaji wa Everton ajifunza kupika Ugali

Video: Mchezaji wa Everton ajifunza kupika Ugali


Mchezaji wa klabu ya Everton ya Uingereza, Phil Jagielka ameamua kujifunza kusonga Ugali hii ni mara baada ya kuwasili nchini na timu yake kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia utakao pigwa leo jioni.


Mchezaji wa klabu ya Everton, Phil Jagielka

Kikosi kizima cha Everton kimeonekana kujifunza mapishi mbalimbali kama vile mchicha, nyama ya mchuzi, bamia, nyanya chungu vikionekana kukarangizwa na wachezaji hawa maarufu.

Jagielka amejiunga na wenyeji hao wa Goodson Park mwaka 2007 akitokea Sheffield United kwa dau la pauni milioni 4 na kukabidhiwa unahodha mara baada ya kustafu kwa mchezaji Phil Neville.

Post a Comment

0 Comments