ANGALIA PICHA ZA MASTAA WALIOSHUHUDIA LIVE PAMBANO LA MAYWEATHER NA MC GREGOR

ANGALIA PICHA ZA MASTAA WALIOSHUHUDIA LIVE PAMBANO LA MAYWEATHER NA MC GREGOR


Floyd Mayweather amethibitisha kuwa bondia asiyepigika baada ya kumshinda kwa TKO dhidi ya Conor McGregor katika round 10 ambapo baada ya mchezo huo bondia huyo alisisitiza kuwa hatopigana tena.
Kwa ushindi huo Mayweather anakuwa amecheza mapambano 50 na hajapoteza hata pambano moja na ameweka wazi kuwa hatopigana tena.


Pambano hilo lilishuhudiwa na watu wapatao 20,000 katika ukumbi wa T-Mobile Arena, Las Vegas miongoni mwao wakiwa mastaa wa filamu, muziki na watu maarufu ambao walisafiri kwenda kuushuhudia ambapo miongoni mwao ni Bruce Willis, Leonardo DiCaprio, Jennifer Lopez, Vanessa Hudgens, Demi Lovato na LeBron James.


Mwigizaji na mwanamuziki Jennifer Lopez na mchezaji wa zamani wa MLB Alex Rodriguez


Leonardo DiCaprio


Bruce Willis akifuatilia pambano


Mastaa LeBron James na Mike Tyson wakifuatilia kwa makini pambano


Mwigizaji staa kutoka Hollywood Gerard Butler naye hakukaa nyumbani


Mwigazji Chris Hemsworth alikuwepo kwenye pambano Mayweather vs McGregor


LeBron James akishuhudia pambano Mayweather vs McGregor. Nyuma ya staa huyo wa Cleveland Cavaliers ni Mike Tyson


P Diddy


Jamie Foxx, akiwa T-Mobile Arena, Las Vegas


Mwigizaji Charlize Theron akifuatilia kwa makini Floyd Mayweather Jr. vs Conor McGregor


Mmiliki wa NFL Robert Kraft alisafiri kwa ndege binafsi akiwa na J-Lo na A-Rod


Cedric The Entertainer (kushoto) na Akon hawakubaki nyumbani

Post a Comment

0 Comments