BABU TALE AFUNGUKA MAISHA YAKE NDANI YA WCB

BABU TALE AFUNGUKA MAISHA YAKE NDANI YA WCB



Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale ameamua kuweka wazi kuwa yeye hajaenda shule kabisa kupata ujuzi na hajutii kwa hilo katika maisha yake ya sasa.

Babu Tale akifunguka kwenye kamera za Bongo5 amesema kuwa licha ya kukosa elimu ya darasani lakini katika familia yao amelelewa katika misingi ya dini na ndiyo maana pengine amefika hadi hapo alipo kwa sasa.

Akizungumzia kazi yake kubwa ndani ya WCB amesema kuwa yeye ni HR (Human Resource) na ana-play role kubwa pia kwenye kutoa ushauri na mawazo ndani ya WCB kwani hapendi maneno maneno.

Post a Comment

0 Comments