Barcelona yaendeleza ushindi, yaipiga Girona 3-0

Barcelona yaendeleza ushindi, yaipiga Girona 3-0


Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akikimbia huku anashangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Barca wachezaji wa Girona walijifunga Aday Benitez dakika ya 17 na Gorka Iraizoz dakika ya 48.

Post a Comment

0 Comments